Picha za wakili Steve Ogolla aliyetapeliwa KSh 500k na mpenzi aliyekutana naye Facebook

Wakili maarufu Steve Ogolla amekiri jinsi alivyotapeliwa na kipusa mmoja aliyetambulika kwa majina kama Dorcas Sarkozy

Kulingana na Ogolla, alimpenda sana mwanamke huyo ila walikutana naye kupitia mtandao wa Facebook na hawakuwahi kutana ana kwa ana.

Habari Nyingine: Mtangazaji wa radio Carol Radull amkataa shabiki aliyeomba kumuoa

Hata hivyo, mashabiki wake mitandaoni walimshambulia wakili huyo kwa kugharamika sana kifedha ilhali hakuwa amekutana na kipusa huyo.

Ogolla kwa upande wake alielezea jinsi alivyompenda kipusa huyo na hata alikuwa ashaanza kuandaa mipango ya harusi yao.

Ogolla ambaye pia anafahamika kuwa mwanasiasa hodari, alikashifiwa kwa kuwa na tamaa ya ngono na kila kipusa anayekutana naye mitandaoni bila hata kujali anakotoka.

Habari Nyingine: Roselyn Akombe: Msando aliuawa kwa kulinda maadili ya uchaguzi

Read: ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia news@tuko.co.ke au WhatsaApp: 0732482690.

Tazama habri zaidi kutoka TUKO.co.ke

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdjaH90gJJmp6KbmJZ6u62MsJikoZyeerTAxK%2BcZqeXpLmtrYyao6KxlamusbHLoq6aZZuotW6Bj2miZqaRYrqxsc2zoGaZnJ7GprfUrZinmV2jrrqxjJ%2BYnJ2SpLysesetpKU%3D